Monday, March 24, 2014
hahaaaaaa
INASIKITISHA JAMANI SOMA HII! Baba na mama
baada ya kurudi kazini pamoja wakakuta BARUA
iko mezani SEBULENI ikisema.... "Baba na mama,
ni matumaini yangu kuwa mtasoma ujumbe
wangu huu kwenye karatasi niliyoiweka juu ya
meza, naomba msishtuke mana ni mambo ya
kawaida kwenye maisha tunayoishi, najua
mtaumia kwa vile bado nasoma na ndo nipo
kidato cha kwanza..." Napenda kuwajulisha
kwamba sasa hivi mnaposoma hii barua sipo
nyumbani, nimetoroka mana nimegundua nina
uwezo wa kujitegemea kwa sababu mi ni kijana
mwenyewe umri wa miaka 14 na ninajua kipi
chema na kipi kibaya. Tangu mwezi mmoja
uliopita nilikuwa na uhusiano na binti mmoja
aliyeitwa Rachel, mwenye umri wa miaka 27 na
kwa sasa ndo naishi naye kwenye chumba
alichopanga. Nilipokuwa nyumbani sikuwa napata
hela za kutosha ila sasa nimeanza kushika noti
za shilingi 10,000... Msichana niliyenaye ni mzuri
sana wa umbo na ninampenda sana,
amenifundisha njia za kutafuta hela. Amenipangia
kazi ya kuuza madawa ya kulevya na yeye ikifika
usiku anaenda kuuza mwili wake, basi kila siku
tunapata hela ya kutosha, huyu mchumba wangu
ni msichana mwenye bidii, kwa siku analala
masaa 6 tu maana mwanaume yeyote akija
lazima awe naye chumbani kwa mda wa masaa 3.
Msiwe na hofu,nipo salama kabisa na nimeamua
kumwoa Rachel mana ni kila kitu kwangu. Pia
amenunua gari la kubebea mbao kwahiyo
biashara inaenda vizuri,Rachel ameenda kupima
afya na amekutwa na upungufu wa kinga
mwilini,mara nyingi namridhisha anapotaka kitu
flani, iwe kufanya naye mazoezi ya viungo au
kufanya naye mapenzi, si mnajua unapokuwa na
mgonjwa unakuwa naye karibu, ila mi pia sijihisi
vizuri mana kila saa nakohoa tu na sina uhakika
kama nimeathirika. Tumepanga baada ya miaka
miwili tutawatembelea, nadhani mpaka miaka
miwili iishe atakuwa ameshajifungua, na ni furaha
yangu mtamwona mjukuu wenu. Wazazi wangu
sina la kuongeza kwaherini Mungu akipenda
tutaonana. NB: "Baba na mama, mi nipo
chumbani kwangu najisomea, mnachokisoma ni h/
work ya mwalimu wa kiswahili alituambia tutunge
hadithi fupi ya kusisimua, naomba
muiangalie kama kuna makosa!
baada ya kurudi kazini pamoja wakakuta BARUA
iko mezani SEBULENI ikisema.... "Baba na mama,
ni matumaini yangu kuwa mtasoma ujumbe
wangu huu kwenye karatasi niliyoiweka juu ya
meza, naomba msishtuke mana ni mambo ya
kawaida kwenye maisha tunayoishi, najua
mtaumia kwa vile bado nasoma na ndo nipo
kidato cha kwanza..." Napenda kuwajulisha
kwamba sasa hivi mnaposoma hii barua sipo
nyumbani, nimetoroka mana nimegundua nina
uwezo wa kujitegemea kwa sababu mi ni kijana
mwenyewe umri wa miaka 14 na ninajua kipi
chema na kipi kibaya. Tangu mwezi mmoja
uliopita nilikuwa na uhusiano na binti mmoja
aliyeitwa Rachel, mwenye umri wa miaka 27 na
kwa sasa ndo naishi naye kwenye chumba
alichopanga. Nilipokuwa nyumbani sikuwa napata
hela za kutosha ila sasa nimeanza kushika noti
za shilingi 10,000... Msichana niliyenaye ni mzuri
sana wa umbo na ninampenda sana,
amenifundisha njia za kutafuta hela. Amenipangia
kazi ya kuuza madawa ya kulevya na yeye ikifika
usiku anaenda kuuza mwili wake, basi kila siku
tunapata hela ya kutosha, huyu mchumba wangu
ni msichana mwenye bidii, kwa siku analala
masaa 6 tu maana mwanaume yeyote akija
lazima awe naye chumbani kwa mda wa masaa 3.
Msiwe na hofu,nipo salama kabisa na nimeamua
kumwoa Rachel mana ni kila kitu kwangu. Pia
amenunua gari la kubebea mbao kwahiyo
biashara inaenda vizuri,Rachel ameenda kupima
afya na amekutwa na upungufu wa kinga
mwilini,mara nyingi namridhisha anapotaka kitu
flani, iwe kufanya naye mazoezi ya viungo au
kufanya naye mapenzi, si mnajua unapokuwa na
mgonjwa unakuwa naye karibu, ila mi pia sijihisi
vizuri mana kila saa nakohoa tu na sina uhakika
kama nimeathirika. Tumepanga baada ya miaka
miwili tutawatembelea, nadhani mpaka miaka
miwili iishe atakuwa ameshajifungua, na ni furaha
yangu mtamwona mjukuu wenu. Wazazi wangu
sina la kuongeza kwaherini Mungu akipenda
tutaonana. NB: "Baba na mama, mi nipo
chumbani kwangu najisomea, mnachokisoma ni h/
work ya mwalimu wa kiswahili alituambia tutunge
hadithi fupi ya kusisimua, naomba
muiangalie kama kuna makosa!
Subscribe to:
Comments (Atom)